HII HAPA RATIBA YA RAUNDI YA PILI AZAM SPORTS FEDERATION - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Sunday, 28 January 2024

HII HAPA RATIBA YA RAUNDI YA PILI AZAM SPORTS FEDERATION

 


AZAM Sports Federation Cup 2023/24 raundi ya pili inatarajiwa kupigwa ndani ya Januari baada ya ratiba kupangwa.


Kagera Sugar inayotumia Uwanja wa Kaitaba kwa mechi za nyumbani itamenyana na Dar City Januari 31 saa 10:00 jioni.

Mabingwa watetezi Yanga watavaana na Hausing FC Januari 30 Saa 1:00 usiku, Uwanja wa Azam Complex.

Mtibwa Sugar watamenyana na Nyakagwe FC, Januari 30 Uwanja wa Manungu Complex Saa 10:00 jioni.

Simba itacheza na Tembo FC Januari 31 ambapo muda na uwanja vitatajwa hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad