MSAFARA wa kikosi cha Yanga umekwea pipa mapema Aprili 2 2024 kuwafuata wapinzani wao Mamelodi Sundowns kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa unaotarajiwa kuchezwa Aprili 5 siku ya Ijumaa.
Ni mchezo wa hatua ya robo fainali ikiwa ni mkondo wa pili baada ya ule uliochezwa Machi 30 ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 0-0 Mamelodi Sundowns.
Hiki hapa kikosi cha Yanga chenye wachezaji 26 namna hii:-
Djigui
Diarra, Aboutwalib Mshery na Metacha
Mnata kwa upande wa makipa ambapo chaguo la kwanza ni Diarra
Bakari
Mwamnyeto, Ibrahim
Bacca, Dickson
Job, Yao
Attohoula, Nickson
Kibabage, Joyce
Lomalisa, Gift
Fred na Kibwana
Shomari upande wa mabeki.
Viungo wa ukabaji ni Khalid
Aucho, Zawadi
Mauya, Salum
Abubakar, (Sure Boy), Jonas
Mkude, Mudathir Yahya na Maxi
Nzengeli
Viungo washambuliaji kuna Pacome Zouzoua, Aziz Ki, Augustine Okrah, Skudu Makudubela, Farid
Mussa
na Denis
Nkane.
Washambuliaji ni Clement
Mzize, Joseph
Guede na Kennedy
Musonda ambapo kwenye mchezo wa Uwanja wa Mkapa wote walipata nafasi ya kuchez.