Simba SC 3-0 Namungo FC, Oktoba 1 2025 - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Friday, 3 October 2025

Simba SC 3-0 Namungo FC, Oktoba 1 2025


 Simba SC 3-0 Namungo FC

Oktoba Mosi 2025

Simba SC imekusanya pointi tatu kwenye mchezo dhidi ya Namungo FC Uwanja wa Mkapa. Beki Rushine alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo.

Zimeongezwa dakika 3

Dakika 90 zimekamilika 

Dakika ya 88 jezi namba 30 piga kona kwa Namungo

Dakika ya 84 Mwalimu goal shoto ndani ya 18

Dakika ya 83 jezi namba 5 njano kwa Simba 

Dakika ya 79 out Kante out in Hussen Semfuko, out Mutale in Kibu Dennis dk 79

Dakika ya 76 Namungo FC miss chance 

Dakika ya 71 Farid out in Rodgers Gabriel

Dakika ya 71 Abdallah Mfuko out in Buswita

Dakika ya 68 Mukwala out in Seleman Mwalimu

Dakika ya 68 Morice Abraham out in Ahoua

Dakika ya 66 Yakoub sace

Dakika ya 61 jezi namba 35 piga faulo, goal Rushine ndani ya 18

Rushine save dk 59

Dakika ya 57 Mukwala cheza faulo

Dakika ya 55 Abraham chezewa faulo 

Dakika ya 52 Namungo peleka mashambulizi Simba SC

Dakika ya 52 Maema of target 

Dakika ya 45 Mpanzu out in Maema, Kabunda out in Lupindo Charles 

Dakika 45 zimekamilika

 zimeongezwa dakika 2

Dakika ya 51 Rushine save

Dakika ya 49 Chamou save

Dakika ya 46 Mutalr long pasi

Dakika 45 Morice rusha

Kapombe chezewa faulo na Dilunga

Dakika ya 43 Chamou goal header asisti Mutale kwa pigo la kona nje ya 18 mguu wa kulia

Dakika ya 43 Mpanzu shot inaokolewa na kipa

Dakika ya 42 Mpanzu shot pasi

Dakika ya 41 Kapombe save

Dakika ya 39 Kapombe cheza faulo

Dakika ya 38 Mutale piga kona

Dakika ya 38 header gonga besela

Dakika ya 36 Mukwala on target

Dilunga piga kona ya kwanza katika mchezo

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad