KOLA AZAMISHA JAHAZI LA GEITA GOLD - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Wednesday, 3 November 2021

KOLA AZAMISHA JAHAZI LA GEITA GOLD


 KIKOSI cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina usiku wa kuamkia leo Novemba 3 kilisepa na pointi tatu mazima mbele ya Geita Gold. 


Ni kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 1-0 Geita Gold. 


Bao la ushindi lilipachikwa na mshambuliaji wao Rodgers Kola ilikuwa dakika ya 81 itazama mazima kwenye nyavu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad