KIKOSI cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina usiku wa kuamkia leo Novemba 3 kilisepa na pointi tatu mazima mbele ya Geita Gold.
Ni kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 1-0 Geita Gold.
Bao la ushindi lilipachikwa na mshambuliaji wao Rodgers Kola ilikuwa dakika ya 81 itazama mazima kwenye nyavu.

No comments:
Post a Comment