VIDEO:MAZOEZI YA MWISHO YA MTUNISIA KWA MASTAA WA SIMBA, KIBU, MORRISON - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Wednesday, 27 October 2021

VIDEO:MAZOEZI YA MWISHO YA MTUNISIA KWA MASTAA WA SIMBA, KIBU, MORRISON

KOCHA wa viungo wa zamani wa Simba, Adel Zraine raia wa Tunisia hakujua hatma yake ndani ya kikosi hicho na alitimiza wajibu wake kwa nguvu.

 Mara ya mwisho kuwaongoza mastaa wa Simba ikiwa ni pamoja na Kibu Dennis, Meddie Kagere, Bernard Morrison ilikuwa ni Oktoba 22, Uwanja wa Boko Veteran.

 Oktoba 26 alichimbishwa mazima na mabosi wa Simba baada ya timu hiyo kunyooshwa mabao 3-1 na Jwaneng Galaxy, Uwanja wa Mkapa katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa na kuangukia katika Kombe la Shirikisho.

 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad