MSIMAMO WA LIGI KUU BARA UPO NAMNA HII - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Monday, 1 November 2021

MSIMAMO WA LIGI KUU BARA UPO NAMNA HII

 


LIGI Kuu Tanzania Bara maarufu kama NBC Premier Ligi inazidi kuchanja mbunga ambapo tayari kuna timu zimeanza kuonja ladha ya kuwa nafasi ya kwanza pamoja na ile ladha ya kuwa nafasi ya mwisho ndani ya msimu wa 2021/22 ambao unakwenda kwa kasi.

Huu hapa msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakiwa ni namba moja na kwenye mechi zao nne wameshinda zote chini


ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi:-

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad