KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya timu ya Taifa ya Uganda, leo Septemba 3 Uwanja wa St Marys, Kitende, Uganda.
Ikumbukwe kwamba mchezo wa leo ni wa mkondo wa pili kwa Stars ikiwa inakumbuka ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 Uwanja wa Mkapa hivyo leo ina kibarua cha kupindua meza ili kusonga mbele CHAN.
Hiki hapa kikosi cha kwanza ambacho kinatarajiwa kuanza namna hii:-
Aishi Manula
Mohamed Zimbwe
Kibwana Shomari
Dickson Job
Bakari Nondo
Jonas Mkude
Mzamiru Yassin
Feitoto
Sopu
John Bocco
Daniel Lyanga

No comments:
Post a Comment