WACHEZAJI wa Azam FC ambao walikuwa kwenye timu ya taifa ya Tanzania tayari wamejiunga na wengine kambini.
Jana Novemba 16 siku ya Jumanne walianza mazoezi kuivutia kasi KMC
Nyota hao ni pamoja na Idd Seleman, Edward Manyama na Lusajo Mwaikenda.
Mchezo wao dhidi ya KMC unatarajiwa kuchezwa Novemba 21,Uwanja wa Uhuru.

No comments:
Post a Comment