HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kwamba ambacho mashabiki wanatakiwa kukifanya kwa sasa ni kuendelea kuwa bega kwa bega na timu hiyo na kusahau makosa ambayo yamepita kwa timu hiyo kushindwa kupata matokeo.
Pia amezungumzia suala la mshambuliaji wao namba moja Fiston Mayele kushindwa kufunga penalti mbele ya Tanzania Prisons
No comments:
Post a Comment