IHEFU 1-1 YANGA - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Tuesday, 29 November 2022

IHEFU 1-1 YANGA

 


UBAO wa Uwanja Highland Estate dakika 45 unasoma Ihefu 1-1 Yanga ambapo kila timu imepata bao moja ambalo linawapeleka kwenye mapumziko.


Ni Yanga walianza kupata bao kupitia kwa Yannick Bangala ambaye alipachika bao kwa kichwa akitumia pasi ya Lomalisa.


Kwa upande wa Ihefu bao lao lilipatikana kupitia kwa Tigere ambaye alipiga pigo la faulo lilimshinda kipa namba moja Diarra Djigui.

Bangala alipachika bao hilo dakika ya 8 na lile la kuweka usawa kwa Ihefu ni mali ya Tigere dakika ya 43.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad