NAMUNGO FC YALAZIMISHA SARE MBELE YA YANGA - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Saturday, 20 November 2021

NAMUNGO FC YALAZIMISHA SARE MBELE YA YANGA

 


KIKOSI cha Yanga kimekazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Ilulu.


Bao la Namungo limefungwa na Obrey Chirwa dakika ya 53 na bao la kusawazishwa kwa Yanga lilifungwa na Said Ntibanzokiza dk 82 kwa penalti.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad