Salum Aboubakhari maarufu kama Sure Boy anatarajiwa kutambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga muda wowote baada ya kukamilisha dili lake.
Anajiunga na Yanga akiwa mchezaji huru baada ya kumalizana na mabosi wake wa zamani Azam FC.
Aliomba kuvunja mkataba Azam FC na mabosi wake hao walikubali iwe hivyo kiroho safi bila malipo yoyote yale.
No comments:
Post a Comment