YANGA WAIPASUA POLISI TANZANIA UGENINI - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Sunday, 23 January 2022

YANGA WAIPASUA POLISI TANZANIA UGENINI

 


DICKSON Ambundo kiungo mshambuliaji wa Yanga leo amefunga bao la 23 ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi.

Ni katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ambapo aliweza kupachika bao hilo dakika ya 64 kwa pasi ya Fiston Mayele mbele ya Polisi Tanzania.

Yanga wanasepa na pointi tatu mazima mbele ya Polisi Tanzania na kuvunja mwiko wa kutushinda ugenini.

Metacha Mnata ametunguliwa bao hilo kipindi cha pili huku kipindi cha kwanza akiwa katika ubora kwa kuzuia mabao katika lango lake.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad