NASREDDINE Nabi Kocha Mkuu wa Yanga amefurahia ushindi wake wa jana Mei 14 mbele ya Dodoma Jiji wa mabao 2-0 huku akiweka wazi kuwa kazi bado inaendelea.
Kwa upande wa mshambuliaji Fiston Mayele mwenye mabao 12 na pasi 3 za mabao amesema kuwa watapambana kushinda mechi zijazo na anaamini kwamba atafunga tu.
.jpg)
No comments:
Post a Comment