ARGENTINA NI NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Saturday, 10 December 2022

ARGENTINA NI NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA

USHINDI wa penalti 4-3 walioupata Timu ya Taifa ya ya Taifa ya Uholanzi yenye staa wao Virgil van Dijk umewapa tiketi ya kutinga hatua ya nusu Fainali Kombe la Dunia Qatar 2022.

Argentina walionekana tangu mwanzo wanahitaji kufanya jambo baada ya nyota wao Nahuel Molina kufunga bao la ufunguzi dakika ya 33 likiwa ni bao lake la kwanza akiwa na timu ya Taifa ya Argentina na lile bao la pili lilifungwa na Lionel Messi zikiwa zimebaki chini ya dakika 20 mpira kugota ukingoni alifunga bao hilo dakika ya 73 kwa mkwaju wa penalti.

Lakini nyota wa Uholanzi ambaye aliingia kutoka benchi Wout Weghorst alibadili mambo kwa kufunga mabao mawili kwa Timu ya Taifa ya Uholanzi dakika ya 83 na lile la pili ilikuwa dakika ya 90+11 na kufanya ubao wa Uwanja wa Lusail Iconic kusoma Uswisi 2-2 Argentina. 

Kwenye muda wa nyongeza kukamilisha dakika 120, Uholanzi walipata pigo baada ya staa wao Denzel Dumfries kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 128 na kufanya wachezaji wawe pungufu kukamilisha dakika zilizobaki.


Messi alikuwa kwenye uangalizi mkubwa katika mchezo huo uliokusanya jumla ya mashabiki 88,235.

































Staa Messi alikuwa kwenye uangalizi mk










 wazi kuwa wamekuwa wakipewa sapoti kubwa na mashabiki waArgentina jambo ambalo linawafanya wapambane bila kuchoka.

Kwenye mikwaju ya penalti ambayo iliamua mshindi ambaye atasonga mbele kipa Emiliano Martinez kipa wa Timu ya Taifa ya Argentina aliokoa penalti mbili kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali.

 Ni ile iliyopigwa na beki kitasa wa Timu ya Taifa ya Uswisi Virgil van Dijk na Berghuis, jambo lililowapa mlima mzito kuweza kutusua kwenye hatua hiyo.

Argentina sasa kwenye hatua ya nusu fainali watamenyana na Timu ya Taifa ya  Croatia, Uwanja wa Lusail Desemba 13,2022.

 


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad