MITAMBO YA PENALTI SIMBA HII HAPA - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Thursday, 8 December 2022

MITAMBO YA PENALTI SIMBA HII HAPA


 SIMBA imekamilisha mzunguko wa pili msimu wa 2022/23 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 31.


Kweye mabao hayo ni mawili yamefungwa kutokana na penalti ilikuwa dhidi ya Geita Gold ambapo mtupiaji alikuwa ni Clatous Chama.


Aliyesababisha penalti hiyo ni Augustino Okra kisha penalti ya pili ilikuwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga walipocheza na Coastal Union.


Mbele ya Coastal Union timu ambayo imetengenezwa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda ambaye anainoa Simba kwa sasa ilisababishwa na Shomari Kapombe.


Kapombe ndani ya ligi katupia bao moja kibindoni akiwa ni mzee wa kumwaga maji na ana pasi moja ya bao.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad