WALIOSAJILIWA BONGO HAWA HAPA - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Tuesday 16 January 2024

WALIOSAJILIWA BONGO HAWA HAPA


USAJILI wa dirisha dogo Januari 15 usiku ulifungwa ambapo timu kadhaa zimetambulisha nyota wao wapya kwa ajili ya kuwa ndani ya changamoto mpya msimu wa 2023/24.


Hapa tunakuletea baadhi ya nyota waliotambulishwa ndani ya timu shiriki Ligi Kuu Bara namna hii:-

Geita Gold

Erick Mwijage kutoka West Armenia.

Mtibwa Sugar  

Jimmyson Mwanuke alikuwa ndani ya Simba

 Nasoro Kapama alikuwa ndani ya Simba

 Shabani Msala alikuwa Ihefu kwenda Mtibwa
 Charles Ilanfya alikuwa Ihefu kwenda Mtibwa

Mashujaa

Erick Johora ni mlinda mlango alikuwa Geita Gold atakuwa ndani ya Mashujaa
 Mapinduzi Balama kutoka Coastal Union
 Reliants Lusajo- Namungo kwenda Mashujaa FC
Emmanuel Mtumbuka kutoka Stand United
 David Ulomi-Moloka Swallows kwenda Mashujaa


KMC
Shaban Chilunda alikuwa ndani ya Simba
Abdallah Lanso-Mlandege 
 Akram Mhina alikuwa KVZ 


Namungo
Meddie Kagere alikuwa ndani ya Singida Fountain Gate.
Ayoub Semtawa- huru kwenda Namungo.

JKT Tanzania
 Shiza Kichuya alikuwa  Namungo

Simba

Boubacar Sarr alikuwa mchezaji huru kwenda Simba
 Omar Jobe 
 Salehe Karabaka-kutoka KVZ 

 Ladack Chasambi- kutoka Mtibwa
Fredy Michael mshambuliaji raia wa Ivory Coast 

Ihefu
Manu Lobota kutoka  FC Lupopo 
 Abubakar Khomeiny alikuwa Singida Fountain Gate.

Yanga
Augustine Okrah- Bechem
Shekhan Ibrahim- kutoka JKU 
Joseph Guede raia wa Ivory Coast

Azam FC
 Franklin Navaro
Yeison Fuentes 
 Mohamed Mustapha 



Tanzania Prisons
Jacob Benedict
 Feisal Mkoko (huru) 
 Abdulkarim Segeja 
 Tariq Simba (Geita/Prisons)
Ally Msengi (Stelenbosch/ Prisons)



No comments:

Post a Comment

Post Top Ad