YANGA YAWATUNGUA KAGERA SUGAR 3-0 - Dizo Click

Dizo Click

Hot

Post Top Ad

Sunday, 27 February 2022

YANGA YAWATUNGUA KAGERA SUGAR 3-0

 


KIKOSI cha Yanga kimesepa na pointi tatu mbele ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa.


Ni mabao matatu ambayo yamefungwa kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. 


Fiston Mayele ametupia mabao mawili na pasi moja ya bao, amefunga dk 30 na 50 pasi kampa mshikaji wake Said Ntibanzokiza dk ya 64.


Yanga inafikisha pointi 42 ikizidi kujikita nafasi ya kwanza kwa msimu wa 2021/22.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad